Search This Blog

Friday, January 15, 2021

Simba yakamilisha usajili wa Perfect Chikwende

Klabu ya Simba imethibitisha kuwa imemsajili mchezaji Perfect Chikwende kutokea FC Platinum ya Zimbabwe.

Chikwende aliingia katika rada za Simba SC baada ya kuwafunga Simba katika mchezo wa round ya kwanza Ligi ya Mabingwa Afrika jijini Harare Zimbabwe.

Taarifa hizo sasa ni rasmi baada ya awali kuwa kama tetesi, Simba hawajataja wazi mkataba wa miaka mingapi wamempa Chikwende lakini inasemekana ni mkataba wa miaka miwili.


 

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...