Search This Blog

Tuesday, January 5, 2021

Rapa Gucci Man amzawadia Mpenzi wake Bilioni 2.3 baada kujifungua salama


 Rapa Gucci Man  amemua kutoa Shukrani kwa Mpenzi wake Keyshia Kaoir, baada ya mpenzi wake huyo kujifungua salama mtoto wao wa Kwanza .

Kupitia Ukurasa wake wa Instagram, Keyshia Kaoir ameonyesha kufurahia zawadi hiyo ya kitita cha pesa na kushare habari hiyo kwa Mashabiki zake .

"Mpenzi wangu amenipatia Dolla Milion 1 (Tsh. Bilioni 2.3) kama zawadi ya kujifungua " - ameandika Keyshia kaoir .



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...