Search This Blog

Friday, January 29, 2021

Rais wa Uturuki ampokea Waziri wa Afghanistan


Rais Recep Tayyip Erdoğan amempokea Waziri wa Uchukuzi wa Afghanistan Kudretullah Zeki.

Waziri wa Uchukuzi na Miundombinu wa Uturuki Adil Karaismailoğlu pia alikuwepo kwenye mapokezi katika Ikulu la Rais.

Kwa upande mwingine, "Mkataba wa Makubaliano juu ya Ushirikiano wa Shughuli za Utafiti na Maendeleo katika Nyanja za Usafiri" ulisainiwa kati ya nchi hizo mbili.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...