Search This Blog

Thursday, January 28, 2021

Rais wa Iran: Iran imeshinda vita vya kiuchumi vilivyowekwa na Marekani dhidi yao


Rais wa Iran Hassan Rouhani alisema kuwa vita vya kiuchumi vilivyoanzishwa na Marekani dhidi ya yao wakati wa utawala wa Donald Trump havikufanikiwa na kiongozi huyo alikuwa akiishi siku zake za mwisho.

Akizungumza baada ya mkutano wa Baraza la Mawaziri uliofanyika katika mji mkuu wa Tehran, Rouhani alisisitiza kwamba amewaachia majukumu utawala wa Washington kuhusu kutii makubaliano ya nyuklia na kusema,

"Vita vya kiuchumi dhidi ya Iran vimeshindwa na viko katika siku zake za mwisho. Tuko katika hali nzuri kuhusu suala la maendeleo ya uchumi kuliko mwezi mmoja au miwili iliyopita. Tuna haki ya kudai tunachostahili kutoka Ulaya na wao hawapaswi kutudai chochote. Sisi tulisubiria mwaka mzima na kila mara waliahidi lakini walishindwa kutimiza ahadi zao."



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...