Search This Blog

Monday, January 25, 2021

Rais Magufuli ampokea Rais wa Jamhuri ya Ethiopia

 Rais wa Jamhuri ya Muunmgano wa Tanzania Dkt. John Pombe

Magufuli akimpokea mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Ethiopia Mhe.

Sahle-Work Zewde mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa

Geita mjini Chato leo Jumatatu Januari 25, 2021kwa ziara ya kikazi ya

siku moja. 




Rais wa Jamhuri ya Muunmgano wa Tanzania Dkt. John Pombe

Magufuli akimtambulisha kwa viongozi mbalimbali mgeni wake Rais wa

Jamhuri ya Ethiopia Mhe. Sahle-Work Zewde alipowasili katika Uwanja wa

Ndege wa Geita mjini Chato leo Jumatatu Januari 25, 2021 kwa ziara ya

kikazi ya siku moja.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...