Search This Blog

Tuesday, January 12, 2021

Morris aagwa rasmi Taifa Stars

 


Beki wa Azam FC na timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars Aggrey Morris (36) leo ameagwa rasm kuichezea Taifa Stars baada ya kuomba kustaafu timu ya taifa.

Morris ameagwa leo kwa kucheza mchezo wake wa mwisho Taifa Stars wa kirafiki dhidi ya Congo DR.

Hata hivyo Morris alikabidhiwa mfano wa hundi ya Tsh milioni 5 na jezi iliyosainiwa na wachezaji wote wa Taifa Stars kama sehemu ya kumuaga kwa utumishi wake wa muda wote Taifa Stars.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...