Search This Blog

Wednesday, January 6, 2021

Mfanyabiashara mkubwa China ahukumiwa kunyongwa


Mfanyabiashara mkubwa wa China ambaye pia ni amewahi kuwa Kiongozi wa Chama, Lai Xiaomin amehukumiwa kunyongwa baada ya kukutwa na hatia ya Rushwa ya takriban Tsh. Bilioni 643.

Mahakama imesema alijihusisha na vitendo vya Rushwa kwa miaka 10 tangu mwaka 2008 ambapo alikuwa anapokea fedha ili kuwapa watu Ajira, kuwapandisha madaraja au kuingia mikataba.

Lai alianza kuchunguzwa mwaka 2018 ambapo pia alifukuzwa uanachama wa Communist Party of China. Kwa mujibu wa Shirika la Amnesty International, Nchi hiyo inanyonga watu wengi kuliko nyingine yoyote duniani.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...