Search This Blog

Tuesday, January 12, 2021

Magaidi nane wa PKK waangamizwa Iraq


Magaidi nane wa kundi la kigaidi la PKK wameangamizwa katika operesheni ya anga iliyotekelezwa na vikosi vya Uturuki Kaskazini mwa Iraq.

Kulingana na Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki, operesheni ya anga ilitekelezwa dhidi ya kundi hilo katika mkoa wa Gara Kaskazini mwa Iraq.

Uturuki imeahidi kupambana na magaidi ndani na nje ya mipaka yake.




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...