Search This Blog

Sunday, January 31, 2021

KKKT kama TEC, yatoa waraka wa angalizo


Wiki moja baada ya Kanisa Katoliki kutahadharisha, Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) nalo limetoa waraka kuwataka waumini wake kujihadhari na ugonjwa wa corona.


KKKT imewakumbusha waumini wake na Watanzania kwa ujumla kuzingatia maelekezo ya kujikinga na mamabukizo ya virusi vipya ambavyo vimeshambulia nchi kadhaa duniani.


Waraka huo umetolewa na mkuu wa kanisa hilo nchini, Askofu Frederick Shoo na kupewa jina la ‘tusimjaribu Mungu kwa kutokuchukua tahadhari’ kwenda kwa maaskofu wa dayosisi zote na wajumbe wa halmashauri kuu ya kanisa hilo.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...