Search This Blog

Monday, January 4, 2021

Guterres: Sio sahihi kila Taifa kuwa na chanjo yake ya Ugonjwa wa COVID19


Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa(UN) Antonio Guterres amesema sio sahihi suala la chanjo dhidi ya Ugonjwa wa COVID19 kuchukuliwa kitaifa

Katika ujumbe wake amesema, hakuna nchi itakuwa salama dhidi ya #CoronaVirus hadi nchi zote zitakapokuwa salama

Kauli yake inakuja baada ya nchi kadhaa zikiwemo Marekani, Uingereza na Urusi kuidhinisha chanjo za Pfizer/BioNTech, Moderna na Sputnik V ili kupambana na mlipuko



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...