Search This Blog

Thursday, January 14, 2021

Bobi Wine athibitishwa kupiga kura Uganda


Bobi Wine alipiga kura katika kituo cha Freedom SquareImage caption: Bobi Wine alipiga kura katika kituo cha Freedom Square

Mgombea mkuu wa upinzani nchini Uganda Bobi amethibitishwa kupiga kura yake mapema leo .

Bobi Wine anawania urais nchini Uganda kwa mara ya kwanza huku akidai wa kutoa upinzani mklai kwa rais aliyepo madarakani Yoweri Museveni.

Yupo katika kinyanganyiro hicho kwa ahadi ya kuvutia uwekezaji na kuwapatia ajira vijana iwapo atachaguliwa






No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...