Search This Blog

Saturday, December 19, 2020

Yanga yaongeza mkataba wa Niyonzima

 


Klabu ya Yanga imemuongezea mkataba kiungo wake Haruna Niyonzima raia wa Rwanda, kuendelea kukipiga Jangwani, lakini uongozi wa timu hiyo haujaweka ni mkataba wa muda gani.

Niyonzima aliyerejea Yanga katika kipindi cha dirisha dogo msimu uliopita, ameongezewa mkataba huo baada ya awali kuwepo kwa tetesi za kuachwa na kikosi kutokana na kukosa na namba ya kudumu katika kikosi cha kwanza.

“Klabu yetu ya Yanga leo tumeongeza Mkataba na Kiungo wetu Niyozima, Fabregas bado yupo yupo sana jangwani,”. Yanga



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...