Search This Blog

Tuesday, December 15, 2020

Waziri wa Mambo ya Nje Mevlüt awasilisha lawama za Uturuki kwa Pompeo


Waziri wa Mambo ya Nje Mevlüt Çavuşoğlu, aliwasiliana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Mike Pompeo kwa njia ya simu.

Kulingana na taarifa kutoka vyanzo vya kidiplomasia, iliarifiwa kuwa kwenye mazungumzo hayo ya Çavusoğlu na Pompeo, Uturuki iliwasilisha lawama zake kuhusu vikwazo ambavyo vimewekwa na Marekani.

Marekani ilichukuwa uamuzi wa kuweka vikwazo dhidi ya Uturuki kutokana na ununuzi wa mifumo ya ulinzi wa anga ya S-400 kutoka Urusi.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...