Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Selemani Jafo amewataka watanzania kuendelea kudumisha amani na upendo ili kuendelea kuwa wamoja pasipo kubaguana.
Waziri Jafo amesema hayo leo wakati akitoa vyeti kwa washindi watano ambao ni wazee walioshiriki katika kusoma Qur'aan tukufu ambayo yameandaliwa na Taasisi ya Al Hikma Foundation ya jijini Dar es Salaam.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.....USISAHAU KUSUBSCRIBE

No comments:
Post a Comment