Search This Blog

Saturday, December 26, 2020

Watatu wakamatwa kwa kujihusisha na Qnet

 


Jeshi la Polisi Wilayani Musoma Mkoani Mara linawashikilia watu wanne kwa kujihusisha na Mtandao wa Kampuni ya QNET na kutapeli watu.

Mkuu wa Wilaya ya Musoma, Dkt. Vicent Naano amesema, uchunguzi umebaini watu wengi wametapeliwa huku akimtaja mstaafu mmoja wa manispaa na familia yake ambaye ametapeliwa Tsh. milioni 15.

Aidha, imebainika kuwa, watu wengi waliotapeliwa wameshindwa kufika kwa Vyombo vya Dola kutoa taarifa na pia mtandao huo hauna muwakilishi hapa nchini.

Uchunguzi unaendelea kwa ofisi nne za QNET ambazo zipo Mjini Musoma.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...