Search This Blog

Monday, December 7, 2020

Wapiga kura Ghana walijitokeza maeneo ya kupiga kura usiku



Wapiga kura wa Ghana walianza kupanga foleni ili kushiriki katika zaoezi la kupiga kura kuanzia usiku wa manane katika mji wa kaskazini wa Tamale.

Watu zaidi ya milioni 17 nchini Ghana wanatarajia kupiga kura hii leo kuchagua rais na wabunge wapya.

Picha hizi zinaonesha jinsi watu walivyojiwekea nafasi katika mistari ya kupigia kura kwa kuweka mawe na samani.





No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...