Search This Blog

Friday, December 25, 2020

VIDEO: Nisisikie mnazuia maiti kisa madeni-Waziri Gwajima


Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima amezitaka Hospitali zote nchini kutozuia maiti kwa madai ya kuwataka ndugu kulipia gharama za matibabu.

Dkt. Gwajima amesema hayo jana wakati alipotembelea Hospitali ya Mloganzila kuona hali ya huduma inayotolewa Hospitalini hapo pamoja na kuzungumza na Menejimenti.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.....USISAHAU KUSUBSCRIBE



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...