Search This Blog

Friday, December 25, 2020

VIDEO: Hali ilivyo na kinachoendelea kwenye ghorofa lililoanguka Zanzibar

Mtu mmoja ameokolewa na kukimbizwa hospitali huku juhudi za kuwanasua wengine zikiendelea baada ya jumba maarufu la Beit Al Ajaib lililokuwa likikarabatiwa kuanguka lililopo miji Mkongwa visiwani Zanzibar ambapo linakadiriwa kuwana ghorofa nne mpaka tano.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...