Search This Blog

Monday, December 14, 2020

Tanzia: Mfanyabiashara Subhash Patel amefariki dunia.


Aliyekuwa Mwenyekiti na Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya Motisun Group, Subhash Patel amefariki dunia. Mfanyabiashara huyo alikuwa pia Mwenyekiti wa Shirikisho la Wenye Viwanda Tanzania (CTI).

Mwenyezi Mungu ailaze Roho ya Marehemu Mahali Pema Peponi, Amin


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...