Search This Blog

Friday, December 11, 2020

Takukuru Simanjiro yawataka wananchi wafichue wala rushwa bila hofu


Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) wilaya ya  Simanjiro imeadhimisha siku ya maadili kwa kusikiliza kero za wananchi vijijini mbalimbali wilayani hapo. 

Mbele ya mkuu wa TAKUKURU wilaya ya Simanjiro Adam Kilongozi, Wananchi katika Kijiji cha Oiborkishu kilichopo kata ya Oljoro Na. 5  walitoa malalamiko yao walieleza kuwa wanachangishwa michango bila kupewa risiti. 

Kilongozi aliwasisitiza wananchi hao kuendelea kutoa taarifa za vitendo vya Rushwa bila kutishwa na mtu yeyote.




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...