Search This Blog
Wednesday, December 2, 2020
Simba yatua Dar usiku mnene
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, wawakilishi wa nchi Simba SC imefanikiwa kuwasili salama jijini Dar Es Salaam majira ya saa 7 ya usiku ikitokea Kilimanjaro baada ya mchezo wa Klabu Bingwa Afrika dhidi ya Plateau United nchini Nigeria, akizungumza baada ya kutua Meneja wa wekendu hao wa Msimbazi, Abbas Suleiman Ally amesema safari yao haikuwa rahisi ila Mungu amewasaidia kutua salama na matokeo mkononi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment