Search This Blog

Wednesday, December 2, 2020

Simba yatua Dar usiku mnene


Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, wawakilishi wa nchi Simba SC imefanikiwa kuwasili salama jijini Dar Es Salaam majira ya saa 7 ya usiku ikitokea Kilimanjaro baada ya mchezo wa Klabu Bingwa Afrika dhidi ya Plateau United nchini Nigeria, akizungumza baada ya kutua Meneja wa wekendu hao wa Msimbazi, Abbas Suleiman Ally amesema safari yao haikuwa rahisi ila Mungu amewasaidia kutua salama na matokeo mkononi.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...