Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi, anatarajiwa kumuapisha makamu wa kwanza wa rais kutoka chama cha upinzani cha ACT-Wazalendo,Maalim Seif Sharif Hamad.
Maalim ameamua kurudi tena kuwa makamu, kwa sasa akiwa chini ya Dkt. Hussein Ali Mwinyi. Swali linaloulizwa na wengi, kipi kikubwa anakwenda kuinufaisha upinzani kwa kuwa sehemu ya serikali?

No comments:
Post a Comment