Search This Blog

Tuesday, December 8, 2020

Seif Sharif Hamad aapishwa leo kuwa makamu wa rais


Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi, anatarajiwa kumuapisha makamu wa kwanza wa rais kutoka chama cha upinzani cha ACT-Wazalendo,Maalim Seif Sharif Hamad.

Maalim ameamua kurudi tena kuwa makamu, kwa sasa akiwa chini ya Dkt. Hussein Ali Mwinyi. Swali linaloulizwa na wengi, kipi kikubwa anakwenda kuinufaisha upinzani kwa kuwa sehemu ya serikali?





No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...