Search This Blog

Tuesday, December 8, 2020

Ratiba ya michezo ya ligi kuu leo

 


Baada ya kukiwasha kimataifa wanarudi katika VPL, ni Namungo FC na Simba SC.

Namungo FC watakuwa dimba la Majaliwa kupepetana na Biashara United.

Mabingwa watetezi Simba SC watakuwa uwanja wa Benjamini Mkapa kuumana na maafande wa Polisi Tanzania.





No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...