Search This Blog

Thursday, December 3, 2020

Rais wa Ufaransa Macron amuandikia barua JPM

 


Balozi wa Ufaransa hapa Nchini Frederic Clavier amemkabidhi Prof. Kabudi barua iliyoandikwa na Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron kwenda kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kumpongeza kwa kuiwezesha Tanzania kuingia katika uchumi wa kati ikiwa ni miaka mitano kabla ya muda uliopangwa.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...