Search This Blog

Friday, December 25, 2020

Rais Magufuli atembeza kapu kanisani

 


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli, leo ameshiriki misa takatifu ya Sikukuu ya Christmas iliyofanyika katika Kanisa la Bikira Maria Imakulata, Chamwino Ikulu mkoani Dodoma leo Desemba 25, 2020.


Katika ibada hiyo Rais Dkt. Magufuli pia amepitisha kapu la sadaka kwa waumini wa kanisa hilo.


Sikukuu ya Christmas huazimishwa kila ifikapo Desemba 25, kila mwaka, na wakristo husherehekea kuzaliwa kwake Yesu Kristo zaidi ya miaka 2,000 iliyopita.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...