Search This Blog

Wednesday, December 2, 2020

Mshambuliaji mpya wa Yanga SC, Mrundi Said Ntibazonkiza atua nchini usiku

 

SAID Ntibanzokiza mshambuliaji mpya ndani ya kikosi cha Yanga, amewasili leo Bongo Desemba 2 rasmi kujiunga na Yanga baada ya kusaini dili la miaka miwili.

Nyota huyo amepokelewa na uongozi wa Yanga ikiwa ni pamoja na wadhamini wake Kampuni ya GSM kupitia Injinia Hersi Said pamoja na Ofisa Uhamasishaji,  Antonio Nugaz.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...