Search This Blog

Saturday, December 5, 2020

Miss Tanzania kujulikana leo, hili ndilo gari atakalokabidhiwa


 Fainali ya Shindano la Miss Tanzania 2020 litafanyika usiku wa leo kwenye ukumbi wa Mwl. Nyerere (JNICC) Posta Jijini Dar es Salaam.

Pichani ni gari aina ya Subaru Impreza lililoandaliwa kama zawadi kuelekea fainali za Mashindano ya Miss Tanzania kwa mwaka huu.

Kwa mrembo mwenye vigezo atakayeibuka mshindi na kuvishwa taji rasmi la Miss Tanzania 2020 atakuwa na uhalali wa kuondoka nalo.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...