Search This Blog

Saturday, December 12, 2020

Marekani yaidhinisha matumizi ya dharura ya chanjo ya Pfizer


Mamlaka ya Chakula na Dawa nchini Marekani (FDA) imeidhinisha matumizi ya dharura ya Chanjo dhidi ya Corona Virus kutoka Pfizer na BioNTech.

Rais Donald Trump amedai chanjo za kwanza zitatolewa chini ya saa 24. Watu zaidi ya 292,000 wamefariki dunia kutokana na COVID19 Marekani.

Chanjo hiyo imeidhinishwa katika mataifa mbalimbali yakiwemo Uingereza, Saudi Arabia, Bahrain na Canada.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...