Mafuriko kutokana na mvua kubwa yameathiri Miji ya Modena na Nonantola kaskazini mwa Italia.
Kulingana na vyombo vya habari vya eneo hilo, Mto Panaro karibu na mji wa Modena umefurika maji.
Wazima moto wamewaokoa watu 20 waliokwama kwenye mafuriko hayo.
Shughuliza uokoaji zinaendelea.

No comments:
Post a Comment