Search This Blog

Tuesday, December 8, 2020

Maandamano yapelekea vifo Iraq


Watu wawili walipoteza maisha na 15 walijeruhiwa katika mapigano yaliyotokea katika maandamano ya Serikali ya Mkoa wa Wakurdi wa Iraq katika mji wa Sulaymaniyah.

Mamlaka yalisema kwamba wakati wa maandamano wilayani Kifri, kijana wa miaka 26, ambaye alikuwa miongoni mwa waandamanaji, alipoteza maisha na mwingine mmoja aliaga dunia baada ya kufikishwa hospitalini.

Majengo ya chama yalichomwa moto wakati wa maandamano katika wilaya ya Seyitsadık huko Sulaymaniyah.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...