Search This Blog

Friday, December 25, 2020

Jengo la kihistoria Beit-al-Ajaib laanguka Zanzibar


 Jengo la kihistoria la Beit-al-Ajaib lililopo mji Mkongwe mjini Unguja, Zanzibar lililokuwa likifanyiwa ukarabati limeanguka huku watu kadhaa wakidaiwa kufukiwa na kifusi.


Jitihada za kuwaokoa zinaendelea kufanywa na kikosi maalumu cha huduma za uokoaji.


Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amefika eneo la tukio na kupewa taarifa kuhusu uokoaji unaoendelea.


Habari zaidi endelea kufuatilia mtandao wa Mwananchi



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...