Search This Blog
Saturday, December 12, 2020
Baraza la Seneti lanusuru shughuli za serikali kuu kufungwa nchini Marekani
Baraza la Seneti la Marekani limepitisha muswada wa matumizi ya muda wa wiki moja hatua inayozuia uwezekano wa kufungwa kwa shughuli za serikali kuu saa chache kabla ya muda wa mwisho wa bajeti ya sasa kumalizika.Masenta walipiga kura ya sauti kurefusha matumizi ya serikali kuu hadi Ijumaa inayokuja ili kutoa muda zaidi kwa Ikulu na Bunge la Marekani kufikia makubaliano kuhusu matumizi ya mwaka unakuja.Muswada huo tayari ulipitishwa na Baraza la Wawakilishi Jumatano iliyopita na rais Donald Trump ameutia saini jana kuwa sheria.Wabunge bado wanavutana kuhusu mpango mpana wa matumizi ya mwaka 2021 ambao sehemu ya fedha zitakazoidhinishwa zitatumika kuchochea ufufuaji wa uchumi uliothiriwa na janga la virusi vya corona.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment