Search This Blog

Wednesday, November 11, 2020

Waziri Mkuu wa Bahrain afariki


Waziri Mkuu wa Bahrain Khalifa bin Salman al-Khalifa ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 84.

Kulingana na taarifa zilizotolewa na vyanzo rasmi vya habari nchini Bahrain, iliripotiwa kuwa al-Khalifa alifariki katika hospitali aliyokuwa akipokea matibabu nchini Marekani.

Mamlaka kuu ya Kifalme ya Bahrain imetangaza kuwa mazishi ya Waziri Mkuu yatafanyika na kuhusisha washiriki wa familia pekee.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...