Search This Blog

Saturday, November 21, 2020

Shule 38 zafutiwa matokeo ya darasa la saba

 


Matokeo ya Darasa la Saba yametangazwa leo ambapo NECTA imefuta matokeo ya mitihani ya Taifa ya darasa la 7 kwa shule 38, ambazo zimebainika kufanya udanganyifu kwenye mitihani iliyofanyika Oktoba 7 na 8 mwaka huu, pamoja na kufuata matokeo ya watahiniwa 1,059, baada ya kubainika wamefanya udanganyifu.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...