Search This Blog

Thursday, November 26, 2020

RC Kunenge atembelea studio za Harmonize Kondegang HQ

 


Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Aboubakar Kunenge alipotembelea ofisi na studio za Msanii Harmonize  ambapo amemshauri mambo mbalimbali ikiwemo kujituma, kuongeza ubunifu, ufanisi na nidhamu ya kazi.

Ikumbukwe RC Kunenge pia ni mlezi wa lebo ya Kondegang ambayo ipo chini ya Msanii Harmonize.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...