Search This Blog

Friday, November 20, 2020

Ratiba ya michezo ya ligi kuu leo

 


LEO Novemba 21, Ligi Kuu Tanzania Bara kuendelea kwa michezo minne kupigwa Kwenye viwanja vinne tofauti.

Mambo yapo namna hii:-

Polisi Tanzania v Ihefu, Azam Complex,  saa 8:00 mchana.

JKT Tanzania v Gwambina, Jamhuri Dodoma,  saa 8:00 mchana.

KMC v Azam FC,  saa 10:00 jioni, Uwanja wa Uhuru.

Coastal Union v Simba, Saa 10:00 jioni, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...