Search This Blog

Wednesday, November 25, 2020

Rais wa Uturuki afanya mazungumzo ya simu na Rais Idriss Deby Itno wa Chad

Kulingana na taarifa kutoka kwa Wizara ya Mawasiliano, mazungumzo hayo yaligusia maswala ya kuboresha uhusiano wa Uturuki na Chad.

Katika mazungumzo hayo, Rais Erdoğan alisema kuwa wanataka kuimarisha ushirikiano na Chad katika kila uwanja na kuzingatia umuhimu mkubwa kwa maendeleo ya uhusiano wa kibiashara na kiuchumi.

Kulikuwa vilevile kuna kubadilishana maoni kuhusu uchaguzi ujao wa Sekretarieti Kuu ya Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu.




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...