Search This Blog

Wednesday, November 18, 2020

Rais Putin aidhinisha pendekezo la kuunda kambi ya jeshi nchini Sudan


Kulingana na raismu ya maamuzi iliyosainiwa na Putin, iliarifiwa kuwa pendekezo la Wizara ya Ulinzi ya Urusi lililowasilishwa kwa ajili ya kuunda kambii ya jeshi la majini katika bandari la Port Sudan nchini Sudan lilikubaliwa.

Hivyo basi, nchi ya Sudan itasaidia kutoa ardhi yake bure kwa ajili ya ujenzi wa kambi ya jeshi.

Urusi nayo itakuwa na haki ya kuleta kila aina ya silaha, risasi na vifaa vingine inavyohitaji kupitia viwanja vya ndege na bandari za nchini ya Sudan ili kusaidia kambi ya jeshi.

Meli 4, pamoja na wahudumu 300 na wafanyakazi wengine wa kikosi cha nyuklia wataweza kuendesha shughuli za  kambi hiyo kwa wakati mmoja.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...