Kulingana na raismu ya maamuzi iliyosainiwa na Putin, iliarifiwa kuwa pendekezo la Wizara ya Ulinzi ya Urusi lililowasilishwa kwa ajili ya kuunda kambii ya jeshi la majini katika bandari la Port Sudan nchini Sudan lilikubaliwa.
Hivyo basi, nchi ya Sudan itasaidia kutoa ardhi yake bure kwa ajili ya ujenzi wa kambi ya jeshi.
Urusi nayo itakuwa na haki ya kuleta kila aina ya silaha, risasi na vifaa vingine inavyohitaji kupitia viwanja vya ndege na bandari za nchini ya Sudan ili kusaidia kambi ya jeshi.
Meli 4, pamoja na wahudumu 300 na wafanyakazi wengine wa kikosi cha nyuklia wataweza kuendesha shughuli za kambi hiyo kwa wakati mmoja.

No comments:
Post a Comment