Search This Blog
Wednesday, November 11, 2020
Rais Magufuli amemteua Majaliwa kuwa Waziri Mkuu
Rais Magufuli amemteua tena Mbunge wa Ruangwa na Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa sasa Wabunge wanasubiriwa kuthibitisha uteuzi wa jina hilo la Waziri Mkuu Mteule ambalo Rais ameliwasilisha Bungeni.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment