Search This Blog

Wednesday, November 11, 2020

Rais Magufuli amemteua Majaliwa kuwa Waziri Mkuu


Rais Magufuli amemteua tena Mbunge wa Ruangwa na Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa sasa Wabunge wanasubiriwa kuthibitisha uteuzi wa jina hilo la Waziri Mkuu Mteule ambalo Rais ameliwasilisha Bungeni.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...