Kamishna Msaidizi wa Uhamiaji Bahati Mwaifuge amesema kwa mwezi November pekee yake wamekamata Wahamiaji haramu (59) wote wakiwa Raia wa Ethiopia
“Tulikamata wahamiaji haramu raia wa Ethiopia (52) hawa waliingia makundi mawili kundi la kwanza wanne tulikuwakuta eneo la Mabatini katika nyumba ya kulala wageni, kundi la pili (48) tumewakuta mtaa wa Bugugu kata ya Buhongwa wamehifadhiwa katika nyumba wakijisaidia kwenye mabeseni”
No comments:
Post a Comment