Search This Blog

Thursday, November 26, 2020

Polisi wa Uganda waizingira hoteli ya Bobi Wine


Police nchini Uganda wameizingira hoteli ambako mgombea wa urais nchini humo Robert Kyagulanyi, al maarufu Bobi Wine, katika mji wa Hoima magharibi mwa Uganda ambako ndiko alipo na maafisa maafisa wake wa kampeni.

Bobi ametuma ujumbe wake wa twitter akisema kuwa alilazimika kutumia njia ndefu kufika mjini humo baada ya wanajeshi kufunga barabara ambayo alitarajia kutumia.

"Wametufuata kwenye hoteli yetu na kuizingira ," alitweet.

Televisheni ya Uganda NTV alitweet ujumbe kuwa " lengo la operesheni hiyo bado halijajulikana ".

Bobi Wine alituma picha za polisi wakiwa nje ya hoteli alimokuwa:



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...