Search This Blog

Wednesday, November 4, 2020

Marekani: Bien Avunja Rekodi ya Obama Kwa Wingi wa Kura




Mgombea Urais wa Marekani, Joe Biden amevunja rekodi iliyoshikiliwa na aliyekuwa Rais wa Marekani Barack Obama kwa kupata kura milioni 70


Rais Barack Obama alipata kura 69,498,516 zilizoweza kumuweka madarakani mwaka 2008 baada ya kupata 52.93% ya kura zilizopigwa dhidi ya mpinzani wake


Katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 Joe Biden amepata kura 70,375,835 ambayo ni 50.2% dhidi ya mpinzani wake, Donald Trump



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...