Search This Blog

Saturday, November 21, 2020

Koffi Olomide awasilia nchini usiku wa kuamkia leo kwaajili ya kolabo na Daimond

 


Msanii mkongwe kutokea Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Koffi Olomide amewasilia nchini usiku wa kuamkia leo toka nchini humo.

Akizungumza akiwa Uwanja wa Ndege, Koffi amewaambia Wanahabari kuwa amekuja Tanzania kwa ajili ya kufanya kazi za muziki na Diamond a atakuwepo hapa mpaka watakapozikamilisha.

Ikumbukwe huyu atakuwa ni msanii mwingine kutokea Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kufanya kazi na Diamond baada ya Fally Ipupa na Innoss’B.

Naye meneja wa Diamond Platnumz, #SallamSK kupitia ukurasa wake wa Instagram amesema, wimbo wa wawili hao tayari hadi sasa ushakuwa-hit.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...