Search This Blog

Thursday, November 5, 2020

Kinda Azam FC asaini Maccabi Tel Aviv



Mchezaji wa Azam FC Novatus Dismas (18) aliyechini ya Shadaka Sports Management amesaini mkataba wa miaka mitatu na Bingwa wa Israel Maccabi Tel Aviv.


Dismas ambaye aliibuka mchezaji bora chipukizi wa Ligi Kuu Tanzania bara msimu wa 2019/2020 ataanza kuwa chini ya Academy ya Maccabi Tel Aviv na baadae anatazamiwa kupandishwa.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...