Search This Blog

Sunday, November 15, 2020

Kassim Majaliwa kuapishwa leo kuwa waziri mkuu


Hafla ya kuapishwa kwake itafanyika Ikulu ya Chamwino-Dodoma baada ya Rais Magufuli kumteua na Bunge kumthibitisha mwishoni mwa wiki jana

Majaliwa ataapishwa ili kuendelea kutekeleza majukumu yake kwa Muhula wa Pili kama Waziri Mkuu wa Tanzania.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...