Search This Blog

Wednesday, November 4, 2020

Jamaa Anayetuhumiwa Kumkata Mkono Mke Wake Afikishwa Mahakamani

 


Ombeni Mollel anayetuhumiwa kumkata mkono mke wake Mwl.Veronica Kidemi kwa kile kilichoelezwa kuwa ni wivu wa kimapenzi amepandishwa katika mahakama ya wilaya Arumeru jijini Arusha na kusomewa shitaka la kujaribu kuua jambo  ambalo ni kinyume cha sheria ya makosa ya jinai   kifungu cha 211 (a) kilichofanyiwa marekebisho mwaka 2002.

Kesi hiyo CI 19 2020 iliyosikilizwa mbele ya hakimu wa mahakama hiyo Chrisanta Chitanda imeahirishwa mpaka November 18 mwaka huu kwa kile kilichoelezwa upelelezi haujakamilika



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...