Search This Blog

Wednesday, November 25, 2020

Halima mdee na wabuge wenzake walioapishwa jana waitwa makao makuu ya CHADEMA

 


"Naomba kutangaza kupitia vyombo vya habari kwa wanachama wetu 19 walioshoriki kwenda kula kiapo jana tarehe 24 kufika makao makuu ya Chama bila kukosa siku ya ijumaa tarehe 27 saa mbili kamili asubuhi kutoka popote pale walipo" - John Mnyika (Katiba Mkuu wa CHADEMA)

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...