Rais mteule wa serikali ya Mapinduzi Zanzibar Dokta Hussein Ali Mwinyi anaapishwa leo visiwani humo, kuweza kutumikia awamu yake ya kwanza ya miaka mitano ya uongozi.
Dkt. Mwinyi alitangazwa mshindi wa nafasi ya Urais Zanzibar kwa asilimia 76. 27% huku mpinzani wake Maalim Seif akiwa mshindi wa pili kwa asilimia 19.87%.
Jumamosi, Dkt.Ali Mohamed Shein alitangaza kuwa siku leo ni mapumziko ili watu wote Zanzibar waweze kushiriki kwa ukamilifu sherehe hizo.

No comments:
Post a Comment