Search This Blog

Monday, November 9, 2020

Deschamps: Pogba hana furaha Man United


Kocha wa timu ya taifa ya Ufaransa Didier Deschamps amesema kuwa anaamini kuwa kiungo wa Ufaransa Paul Pogba (27) kwa sasa hana furaha katika klabu ya Manchester United.

“Paul (Pogba) namuelewa vizuri na anawaelewa vizuri wenzake, (Paul) yupo katika hali ambayo hawezi kuwa na furaha katika klabu yake, wala sio kwa sababu ya nafasi anayocheza au muda anaopata wa kucheza”

“Hayupo katika kipindi kizuri amekuwa na mfululizo wa matukio ya majeruhi na kupata Corona ambayo ilimuumiza sana anahitaji kurudisha hali” Deschamps VIA Sport Witness



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...