Baada ya mchezo wa jana uliowafanya imu ya simba kuiwakilisha vizuri anzania kwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Plateau United ya nchini Nigeria kikosi cha wawakilishi wa nchi kimaaifa leo jumatatu kitaanza safari kurudi Tanzania kujiandaa na mchezo wa marudiano dhidi Plateau United.
Safari itaanza alfajiri kutoka Jos hadi Abuja, mchana kikosi kitaondoka Abuja kwenda Addis Ababa, Ethiopia ambapo kitafika usiku na kupumzika hapo.
Hata hivyo kikosi hiko kitatua Tanzania kaika uwanja wa ndege wa Kilimanjaro siku ya jumanne saa 10:00 jioni.
No comments:
Post a Comment