Search This Blog

Sunday, November 29, 2020

Baada ya kufanya mauaji Nigeria Simba kutua nchini kesho

 


Baada ya mchezo wa jana uliowafanya imu ya simba kuiwakilisha vizuri anzania kwa  kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya  Plateau United ya nchini Nigeria kikosi cha wawakilishi wa nchi kimaaifa leo jumatatu kitaanza safari kurudi Tanzania kujiandaa na mchezo wa marudiano dhidi Plateau United.

Safari itaanza alfajiri kutoka Jos hadi Abuja, mchana kikosi kitaondoka Abuja kwenda Addis Ababa, Ethiopia ambapo kitafika usiku na kupumzika hapo. 

Hata hivyo kikosi hiko  kitatua Tanzania kaika uwanja wa ndege wa Kilimanjaro siku ya jumanne saa 10:00 jioni.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...